Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

Hon. Mwantumu Mzamili Zodo

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

MHE. MWANTUMU M. ZODO: Mheshimiwa Naibu Spika, ninachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia afya njema. Pia nimpongeze Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa uchapakazi wake; hakika Taifa letu la Tanzania linamtegemea.

Mheshimiwa Naibu Spika, mwisho ninachukua fursa hii kumpongeza Waziri, Naibu Waziri na watendaji wote wa Wizara kwa jitihada zao za kuendelea kupambana na ukatili wa kijinsia.

Mheshimiwa Naibu Spika, niiombe Wizara pamoja na jitihada zote bado tatizo la ukatili ni kubwa sana. Wizara ikae na ije na mkakati mpya wa kuendelea kukabiliana na matendo ya kikatili.

Mheshimiwa Naibu Spika, mwisho, ninaunga mkono hoja.