Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 15 | Sitting 2 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 26 | 2024-04-03 | 
 
									Name
Innocent Sebba Bilakwate
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kyerwa
Primary Question
						MHE. INNOCENT S. BILAKWATE aliuliza: - 
Je, nini kauli ya Serikali kwa Barabara ya Murushaka - Murongo ambayo Mkandarasi amepatikana zaidi ya mwaka mmoja bila Mkataba kusainiwa?
					
 
									Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
						NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: - 
Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Ujenzi, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Innocent Seba Bilakwate, Mbunge wa Kyerwa, kama ifuatavyo: -
Mheshimiwa Spika, Mkataba wa Ujenzi wa Barabara ya Murushaka – Murongo yenye urefu wa kilometa 125, sehemu ya Kyerwa – Omurushaka kilometa 50, kati ya TANROADS na Mkandarasi Shandong Company Limited umesainiwa tarehe 19 Februari, 2024. Ahsante. 
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved