Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 15 | Sitting 1 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 14 | 2024-04-02 | 
 
									Name
Jeremiah Mrimi Amsabi
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Serengeti
Primary Question
						MHE. BONIPHACE M. GETERE K.n.y. MHE. JEREMIAH M. AMSABI aliuliza:-
Je, lini Serikali itakamilisha ujenzi wa barabara ya lami kipande cha Sanzate hadi Natta.
					
 
									Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
						NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-
Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Ujenzi, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Jeremiah Mrimi Amsabi, Mbunge wa Serengeti, kama ifuatavyo:-
Mheshimiwa Spika, Serikali inaendelea na ujenzi wa Barabara ya Sanzate – Natta, urefu wa kilometa wa kilometa 40 ambapo hadi kufikia Machi, 2024 utekelezaji umefikia asilimia 45 na mradi unatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Januari, 2025, ahsante.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved