Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 17 | Sitting 1 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 19 | 2024-10-29 | 
 
									Name
Maimuna Ahmad Pathan
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
						MHE. MAIMUNA A. PATHAN aliuliza: -
Je, lini wananchi waliowekewa alama ya X kwenye barabara ya Masasi mpaka Liwale watalipwa fidia?
					
 
									Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
						NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kuwalipa wananchi wote ambao wamewekewa alama ya X kwenye barabara ya Masasi mpaka Liwale. Serikali itahakikisha inalipa fidia kwa mujibu wa sheria kabla ya ujenzi wa barabara hiyo kuanza, ahsante.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved