Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 17 | Sitting 5 | Finance and Planning | Wizara ya Fedha | 76 | 2024-11-04 | 
 
									Name
Salum Mohammed Shaafi
Sex
Male
Party
ACT
Constituent
Chonga
Primary Question
						MHE. SALUM MOHAMMED SHAAFI aliuliza: -
Je, akaunti ya fedha ya pamoja ya Muungano imeshafunguliwa?
					
 
									Name
Hamad Hassan Chande
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kojani
Answer
						NAIBU WAZIRI WA FEDHA alijibu: -
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali mbili zinaendelea na mashauriano juu ya mapendekezo yaliyowasilishwa na Tume ya pamoja ya fedha kuhusu utaratibu wa kudumu wa kuchangia matumizi na kugawana mapato ya Muungano. Uamuzi wa pamoja utakapofikiwa na pande zote mbili za Muungano ndiyo utakaowezesha kufunguliwa kwa akaunti ya fedha ya pamoja, ahsante.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved