Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 18 | Sitting 7 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 121 | 2025-02-05 | 
 
									Name
Jacqueline Kandidus Ngonyani (Msongozi)
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
						MHE. JACQUELINE N. MSONGOZI aliuliza:-
Je, lini wananchi wa vijiji vya pembezoni mwa barabara ya Lumecha – Londo – Mpepo Morogoro watalipwa fidia?
					
 
									Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
						NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Lumecha – Londo – Kilosa kwa Mpepo. Sambamba na hilo, Serikali pia inatafuta fedha kwa ajili ya fidia kwa wananchi wote wanaostahili kulipwa fidia kwa Mujibu wa Sheria, ahsante.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved