Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 7 | Sitting 27 | Home Affairs | Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi | 236 | 2022-05-20 | 
 
									Name
Nashon William Bidyanguze
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kigoma Kusini
Primary Question
						MHE. NASHON W. BIDYANGUZE aliuliza:-
Je, ni lini Serikali itajenga Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Uvinza?
					
 
									Name
Sagini Jumanne Abdallah
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Butiama
Answer
						NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu:-
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Nashon William Bidyanguze, Mbunge wa Kigoma Kusini, kama ifuatavyo:-
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali itaanza kujenga Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Uvinza katika eneo la Lugufu baada ya eneo hilo kupimwa na kupata hati.
Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved