Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2025-2030 | Session 3 | Sitting 12 | Information, Culture, Arts and Sports | Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo | 138 | 2026-04-20 |
Name
Edward Olelekaita Kisau
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kiteto
Primary Question
MHE. EDWARD O. KISAU aliuliza: -
Je, lini mnara wa Redio Tanzania uliojengwa Kiteto utaanza kufanya kazi?
Name
Hamis Mohamed Mwinjuma
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Muheza
Answer
NAIBU WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO alijibu:-
Mheshimiwa Mwenyekiti, Kituo hiki ni sehemu ya mradi unaotekelezwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kwa kushirikiana na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF). Hadi kufikia tarehe 14 Aprili, 2026 ujenzi na ufungaji wa miundombinu ya mitambo ya redio katika kituo hiki umefikia 90% na unatarajiwa kukamilika ifikapo Juni, 2026. Ninakushukuru.
Copyright © Bunge Polis 2026. All Rights Reserved