Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2025-2030 | Session 3 | Sitting 17 | Energy and Minerals | Wizara ya Nishat | 197 | 2026-04-27 |
Name
Eng. Johnston Johansen Mutasingwa
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Bukoba Mjini
Primary Question
MHE. ENG. JOHNSTON J. MUTASINGWA aliuliza: -
Je, lini Serikali itakamilisha upanuzi wa Kituo cha umeme Kibeta?
Name
Deogratius John Ndejembi
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Chamwino
Answer
NAIBU WAZIRI WA MADINI K.n.y. WAZIRI WA NISHATI alijibu: -
Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Nishati, ninaomba kujibu swali la Mheshimiwa Eng. Johnston Johansen Mutasingwa, Mbunge wa Bukoba Mjini, kama ifuatavyo: -
Mheshimiwa Naibu Spika, hadi sasa Serikali kupitia TANESCO inaendelea na upanuzi wa Kituo cha Kupooza Umeme cha Kibeta kwa kuongeza uwezo wa transfoma iliyokuwepo kutoka MVA 20 na kufunga transfoma yenye uwezo wa miundombinu ya Gridi ya Taifa ambapo utekelezaji wake umefikia 95% na unatarajiwa kukamilika kabla ya mwisho wa mwaka huu wa 2026. Ahsante sana.
Copyright © Bunge Polis 2026. All Rights Reserved