Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Primary Question

Term Session Sitting Sector Ministry Qn No Date
2025-2030 Session 3 Sitting 23 Home Affairs Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi 261 2026-05-06

Name

Emmanuel Peter Cherehani

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ushetu

Primary Question

MHE. AZZA H. HAMAD K.n.y. MHE. EMMANUEL P. CHEREHANI aliuliza:-

Je, lini Serikali itatoa fedha, kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Polisi, Ushetu?

Name

Mohammed Mahmoud Ayoub

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Chaani

Answer

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu:-

Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali ina mpango wa kujenga Kituo cha Polisi, Ushetu, kwenye kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 6,456 kilichopo katika eneo la Nyamilangano. Fedha, kwa ajili ya ujenzi wa kituo hicho zinatarajiwa kutengwa na kutolewa kwenye Bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha 2027/2028. Ninaomba kuwasilisha.