Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Name
Charles Mhando Njama
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Korogwe Mjini
Primary Question
MHE. AMINA M. MKUMBA aliuliza: - Je, lini Serikali itakamilisha ujenzi wa Chuo cha VETA katika Jimbo la Kibiti?
Supplementary Question 1
MHE. CHARLES M. NJAMA: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante kwa kunipa nafasi. Chuo cha Ualimu Korogwe ni chuo kikongwe na cha muda mrefu, lakini hadi leo hakina uzio. Je, yupo tayari kwenda kutembelea chuo kile na kuanza ujenzi wa uzio katika chuo cha ualimu Korogwe?
Name
Wanu Hafidh Ameir
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA: Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza nimpongeze kwa kufuatilia maendeleo ya Chuo cha Ualimu cha Korogwe na nimwambie kwamba nipo tayari kwenda kutembelea chuo hicho na kuona namna gani tutaweza kusaidia kujenga uzio wa chuo hicho.
Copyright © Bunge Polis 2026. All Rights Reserved