Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 27 | Regional Administration and Local Government Authorities | Ofisi ya Rais TAMISEMI. | 339 | 2025-05-19 | 
 
									Name
Dr. Charles Stephen Kimei
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Vunjo
Primary Question
						MHE. DKT. CHARLES S. KIMEI aliuliza:-
Je, lini Serikali itafanya ukarabati na kuongeza majengo ya Maabara katika Kituo cha Afya cha Mwika?
					
 
									Name
Dr. Festo John Dugange
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Wanging'ombe
Answer
						NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUGANGE) alijibu:-
Mheshimiwa Spika, Kituo cha Afya Mwika kilijengwa Mwaka 1905. Kituo hicho ni miongoni mwa vituo vya afya Kongwe 203 ambavyo Ofisi ya Rais TAMISEMI ilivifanyia tathmini kwa ajili ya ukarabati wa miundombinu yake.
 
Mheshimiwa Spika, Serikali inakamilisha ukarabati wa hospitali 50 kongwe nchini na baada	ye itafanya ukarabati wa vituo vya afya na zahanati kongwe kote nchini kikiwemo Kituo cha Afya cha Mwika.  Ahsante.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved