Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 27 | Works, Transport and Communication | Wizara ya Uchukuzi | 345 | 2025-05-19 | 
 
									Name
Maulid Saleh Ali
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Welezo
Primary Question
						MHE. MAULID SALEH ALI aliuliza:-
Je, lini Serikali itajenga uzio wa umeme kwenye Reli ya SGR kutoka Ngerengere hadi Dodoma?
					
 
									Name
David Mwakiposa Kihenzile
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mufindi Kusini
Answer
						NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI alijibu:-
Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Shirika la Reli (TRC) ipo katika hatua za mwisho za ukamilishaji wa ujenzi wa uzio katika mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kwa kipande cha Morogoro hadi Dodoma. Hivi sasa, ujenzi wa uzio huo umefikia 95.12%. TRC inaendelea kumsimamia mkandarasi ili kuhakikisha kazi hiyo inakamilika kwa wakati.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved