Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 27 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 347 | 2025-05-19 | 
 
									Name
Shanif Mansoor Jamal
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kwimba
Primary Question
						MHE. PAULINE P. GEKUL K.n.y. MHE. SHANIF M. JAMAL aliuliza:-
Je, lini Serikali itatoa fedha za ujenzi wa Barabara ya Magu – Ngudu – Hungumarwa kilometa 10 ambapo Mkataba ulishasainiwa?
					
 
									Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
						NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-
Mheshimiwa Spika, ujenzi kwa kiwango cha lami wa Barabara ya Isandula - Magu kwenda Bukwimba - Ngudu hadi Hungumalwa yenye urefu wa kilometa 50 sehemu ya Isandula - Bukwimba Station kilometa 10 ulishaanza na utekelezaji wake umefikia asilimia tano.  Kwa sasa, Serikali inatafuta fedha kwa ajili ya malipo ya awali ili mkandarasi aweze kuendelea na kazi. Ahsante.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved