Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 27 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 348 | 2025-05-19 | 
 
									Name
Josephine Johnson Genzabuke
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
						MHE. JOSEPHINE J. GENZABUKE aliuliza:-
Je, lini Serikali itajenga Daraja la Mto Malagarasi katika Tarafa ya Ilagala – Uvinza?
					
 
									Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
						NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-
Mheshimiwa Spika, kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa Daraja la Malagarasi ya Chini lenye urefu wa mita 200 katika Barabara ya Simbo – Ilagala hadi Kalya yenye urefu wa kilometa 234 imekamilika.  Kwa sasa, Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi. Ahsante.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved