Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 9 | Regional Administration and Local Government Authorities | Ofisi ya Rais TAMISEMI. | 106 | 2025-04-22 | 
 
									Name
Daniel Awack Tlemai
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Karatu
Primary Question
						MHE. ZAYTUN S. SWAI K.n.y. MHE. DANIEL A. TLEMAI aliuliza:-
Je, lini Serikali itatoa fedha za ujenzi wa wodi ya upasuaji ya wanawake na jengo la kuhifadhia maiti Hospitali ya Wilaya ya Karatu?
					
 
									Name
Dr. Festo John Dugange
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Wanging'ombe
Answer
						NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. DKT. FESTO J. DUGANGE) alijibu:-
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya huduma za afya katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ikiwemo ya Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.
Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mwaka wa fedha 2025/2026, Serikali imetenga shilingi milioni 800 kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya upasuaji ya wanawake, jengo la kuhifadhia maiti pamoja na njia za kutembelea wagonjwa katika hospitali ya Wilaya ya Karatu. Ahsante.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved