Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 30 | Home Affairs | Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi | 386 | 2025-05-22 | 
 
									Name
Suma Ikenda Fyandomo
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
						MHE. SUMA I. FYANDOMO aliuliza:-
Je, kwa nini Askari Polisi hawalipwi fedha za likizo?
					
 
									Name
Daniel Baran Sillo
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Babati Vijijini
Answer
						NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu: -
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali kupitia Jeshi la Polisi imekuwa ikitenga fedha kwenye bajeti yake kila mwaka kwa ajili ya malipo ya stahili mbalimbali ikiwa ni pamoja na malipo ya likizo kwa Askari Polisi. Katika mwaka wa fedha 2023/2024, Jumla ya kiasi cha fedha 4,359,600,000 kimelipwa na katika mwaka wa fedha 2024/2025 jumla ya kiasi cha fedha 4,475,000,000 kimetengwa kwa ajili ya askari kwenda likizo. Serikali itaendelea kutenga fedha kila mwaka kwa ajili ya malipo na stahili mbalimbali za askari ikiwemo malipo ya likizo.  Ahsante.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved