Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 34 | Finance | Wizara ya Fedha | 437 | 2025-05-28 | 
 
									Name
Issaay Zacharia Paulo
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mbulu Mjini
Primary Question
						MHE. YUSTINA A. RAHHI K.n.y. MHE. ZACHARIA P. ISSAAY aliuliza: -
Je, Serikali ina mpango gani wa kujenga Ofisi ya TRA katika Wilaya ya Mbulu?
					
 
									Name
Hamad Hassan Chande
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kojani
Answer
						NAIBU WAZIRI WA FEDHA alijibu: -
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ina mpango wa kuanza ujenzi wa Ofisi ya TRA katika Wilaya ya Mbulu katika mwaka wa fedha 2026/2027. Kwa sasa shughuli za ukusanyaji wa mapato ya Serikali zinafanyika kwenye jengo la iliyokuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, ahsante.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved