Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date | 
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 34 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 438 | 2025-05-28 | 
 
									Name
Abubakar Damian Asenga
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kilombero
Primary Question
						MHE. ABUBAKARI D. ASENGA aliuliza: -
Je, ni lini Serikali kupitia TANROADS itajenga kipande cha barabara eneo la Matonga – Ifakara Mjini kama mchepuko wa barabara kubwa ya sasa?
					
 
									Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
						NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Naibu Spika, kipande cha barabara eneo la Matonga, Ifakara Mjini kwa sasa hakipo chini ya usimamizi wa TANROADS wala TARURA. Hivyo, katika mwaka wa fedha 2025/2026 Serikali itaanza taratibu za kuitambua barabara hii kwa kuifanyia tathmini na kuipanga katika daraja husika.  Baada ya kuipanga katika daraja husika ambalo litaonyesha itakuwa chini ya wakala gani kati ya TANROADS na TARURA, wakala husika itaanza taratibu za kuijenga kwa kiwango cha lami, ahsante.
					
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved