Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 34 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 439 | 2025-05-28 |
Name
Mwantum Dau Haji
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. MWANTUMU DAU HAJI aliuliza: -
Je, lini Serikali itatengeneza barabara ya Hombolo kwa kiwango cha lami ili iweze kupitika wakati wote?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Naibu Spika, upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara ya Ihumwa – Hombolo – Gawaye yenye urefu wa kilometa 55.65 kwa ajili ya kuijenga kwa kiwango cha lami unaendelea na unatarajiwa kukamilika tarehe 31 Mei, 2025. Baada ya kazi hiyo kukamilika na gharama za ujenzi kujulikana, Serikali itatafuta fedha kwa ajili ya kuijenga barabara hiyo kwa kiwango cha lami. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved