Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 34 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 440 | 2025-05-28 |
Name
Daniel Awack Tlemai
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Karatu
Primary Question
MHE. DANIEL A. TLEMAI aliuliza: -
Je, lini Serikali itajengwa kwa kiwango cha lami barabara ya Njiapanda - Mang’ola – Matala hadi Lalago ambayo ipo kwenye Ilani ya CCM 2020/2025?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Naibu Spika, upembuzi yakinifu na usanifu wa Kina wa barabara ya Njiapanda - Mang’ola – Matala - Lalago yenye urefu wa kilometa 328 umekamilika. Ujenzi wa barabara hii utafanyika kwa awamu ambapo kwa sehemu ya Nkoma hadi Lalago kilometa 65 Mkandarasi yupo katika hatua za awali za kuanza ujenzi. Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa sehemu iliyobaki ya Nkoma – Matala – Njiapanda ambayo itakuwa na urefu wa kilometa 263. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved