Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
| Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
|---|---|---|---|---|---|---|
| 2020-2025 | Session 19 | Sitting 34 | Home Affairs | Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi | 441 | 2025-05-28 |
Name
Atupele Fredy Mwakibete
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Busokelo
Primary Question
MHE. ATUPELE F. MWAKIBETE aliuliza: -
Je, lini Serikali itapeleka gari la Polisi Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo?
Name
Innocent Lugha Bashungwa
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Karagwe
Answer
NAIBU WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI K.n.y. WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu: -
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali imeshapeleka magari mawili aina ya Toyota Landcruiser Pickup. Tayari yako katika Kituo cha Polisi Busokelo. Gari hizi zitatumika kutoa huduma za Polisi kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved